Friday 8 April 2016

EUROPA LEAGUE 2016: KLOPP APOKELEWA VIZURI NA MASHABIKI WA DORTMUND


Liverpool waliingia uwanjani dhidi ya Dortmung kwenye ungwe ya kwanza ya Europa League na kabla ya mechi kuanza Jurgen Klopp alikaribishwa na alishangiliwa sana na mashabiki wa Dortmund...


Klopp alikuwa kocha wa Dortmund toka 2008 mpaka 2015...Klopp aliwasaidia washinde vikombe 2 na kuwapeleka fainali ya Uefa...


Mashabiki walishika mabango na yaliyoandikwa maneno ya kumkaribisha nyumbani...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment