Friday 22 April 2016

LIVERPOOL: JURGEN KLOPP ASEMA MGUU WA ORIGI HAUJAVUNJIKA


Habari njema kutoka the Kop kupitia kocha wa Liverpool Jurgen Klopp ni kwamba Divock Origi mguu wake haukuvika...Origi alifanyiwa foul mbaya sana na Funes Mori katika mechi ya Merseyside derby Jumatano usiku...


Klopp amesema Origi atakuwa nje kwa zaidi ya miezi 2 kwahiyo atakosa hata mashindano ya Ulaya...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment