Saturday 23 April 2016

LIVERPOOL: MAMADOU SAKHO APATIKANA NA HATIA YA KUTUMIA MADAWA YALIYOPIGWA MARUFUKU


Habari zilizoingia hizi punde tu ni kuwa mchezaji maarufu na anayetegemewa sana na Liverpool, Mamadou Sakho, amepatinana na hatia ya kutumia madawa ya kuunguza mafuta mwilini kwa kushindwa kufaulu vipimo maalum...Sakho sasa anachunguzwa na Uefa baada ya hii kitu kutokea...Sakho anayetokea Ufaransa anaumri wa miaka 26 na hatokuwepo wakati wa kuchagua timu kipindi cha michuano ya Euro...Sakho alitokea PSG kwa dau la £18 milioni na amechezea timu yake mechi 34 na 10 za Uefa...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment