Monday 25 April 2016

BARCELONA OPEN 2016: RAFA NADAL AFIKIA REKODI YA OPEN CLAY COURT


Rafael Nadal au kwa jina maarufu 'King of Clay' amefanikiwa kufikia rekodi ya mashindano ya clay court ya wazi ya ushindi wa mashindano 49...Rafa amemfikia Guillermo Vilas alipofanikiwa kushinda Barcelona Open katika fainali dhidi ya Kei nishikori 6-4 7-5...Vila anayetokea Argentina alifanikiwa kufikia hiyo rekodi kati ya miaka ya 1970 na 1980...Rafa anaweza kuipita hiyo rekodi kwani ana mashindano Madrid na Rome...Bofya hapa upate habari zidi.

No comments:

Post a Comment