Monday 11 April 2016

NBA: GOLDEN STATE WARRIORS WAFIKIA REKODI YA CHICAGO BULLS YA 1995-96


Golden State Warriors wakiongozwa na Stephen Curry wameweza kufikia rekodi ya Chicago Bulls ya msimu wa mwaka 1995-96 ya kushinda mechi 72...Pamoja na hayo wanaweza kuvunja hiyo rekodi na kuwa na ushindi wa mechi 73 Jumatano wakiingia uwanjani na Memphis Grizzlies...Sasa Curry na wenzake wako juu kama Michael Jordan na wenzake kwa kuwa wachezaji na timu bora kwenye ligi ya NBA...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment