Tuesday 5 April 2016

NCAA FINALS 2016: VILLANOVA MABINGWA KWA 'BUZZER BEATER' YA KRIS JENKINS


Villanova wamenyakua ubingwa wa vyuo vikuu marekani....Villanova wanatokea nje kidogo ya Philadelphia na ni shule ya kikatoliki na mwaka huu wameshinda ubingwa wao wa 2 kwa kuwachapa North Carolina sekunde chache sana za mwisho...


Kris Jenkins ndie aliyezamisha mpira wa 3 points sekunde chache sana kabla kengele ya mchezo kupiga kuashiria mwisho wa game...Game ilikuwa kali sana na timu zote zilitoka na kucheza kwa moyo sana...



Kwa kweli game ya leo itakumbukwa kama game kali sana kuliko game nyingi au zote kwani game ilikuwa kali na kilichoamua ubingwa ni shot ya Jenkins tu...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment