Monday 11 April 2016

LEICESTER CITY FC: CLAUDIO RANIERI KOCHA WA MWEZI BARCLAYS PREMIER LEAGUE


Claudio Ranieri amekuwa kocha bora wa mwezi Barclays Premiership baada ya timu yake kufanya vizuri sana na pia haikufungwa mwezi March...Ni mara ya 2 msimu huu  Ranieri anachukua tuzo hiyo ya kocha wa Mwezi...Mpaka sasa Leicester au kwa jina maarufu 'The Foxes' wamepoteza mechi 3 tu...Leicester sasa wako points 10 mbele ya Tottenham na wakishinda mechi 2 tu wanatangazwa mabingwa...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment