Showing posts with label Barclays. Show all posts
Showing posts with label Barclays. Show all posts

Monday, 11 April 2016

LEICESTER CITY FC: CLAUDIO RANIERI KOCHA WA MWEZI BARCLAYS PREMIER LEAGUE


Claudio Ranieri amekuwa kocha bora wa mwezi Barclays Premiership baada ya timu yake kufanya vizuri sana na pia haikufungwa mwezi March...Ni mara ya 2 msimu huu  Ranieri anachukua tuzo hiyo ya kocha wa Mwezi...Mpaka sasa Leicester au kwa jina maarufu 'The Foxes' wamepoteza mechi 3 tu...Leicester sasa wako points 10 mbele ya Tottenham na wakishinda mechi 2 tu wanatangazwa mabingwa...Bofya hapa upate habari zaidi.

Monday, 7 December 2015

EPL: KOMBE LA BARCLAYS NDANI YA BONGO


Kombe kubwa na maarufu la Barclays Premier League liko ndani ya bongo...Wadau wengi wa Max Sports walijitokeza kupiga "ekotite" na kombe hilo ambalo linapiga ziara bongo...Mdau mkubwa wa Liverpool na Max Sports  Alex Galinoma nae alijitokeza kupata photo ya mwaka na kombe hilo maarufu...



Mdau mkubwa wa Chelsea nchini kaka Makulilo nae hakuwa mbali na kombe hilo ya Barclays...Kaka alikuwa na furaha kiasi cha kusahau matatizo ya timu yake...Kombe limeleta furaha kwa wadau na wapenzi wa soka nchini...