Showing posts with label Max Sports Blog. Show all posts
Showing posts with label Max Sports Blog. Show all posts

Thursday, 17 December 2015

BREAKING NEWS: JOSE MOURINHO ATIMULIWA


Habari moto moto zilizoingia hapa Max Sports ninasema Jose Mourinho ametimuliwa Chelsea...Chelsea wako hatiani kushuka daraja na mwenye timu Roman Abramovich kashindwa kuvumilia na kumtimua Jose Mourinho...The Special one mwanzo wa msimu aligombana na doctor wa Chelsea, Eva Carneiro, na hatimaye huyo doctor kuondoka baada ya hapo timu imefungwa mara 9 na sasa iko point 1 juu ya relegation stage...Bofya hapa upate habari hii moto kabisa

Monday, 7 December 2015

EPL: KOMBE LA BARCLAYS NDANI YA BONGO


Kombe kubwa na maarufu la Barclays Premier League liko ndani ya bongo...Wadau wengi wa Max Sports walijitokeza kupiga "ekotite" na kombe hilo ambalo linapiga ziara bongo...Mdau mkubwa wa Liverpool na Max Sports  Alex Galinoma nae alijitokeza kupata photo ya mwaka na kombe hilo maarufu...



Mdau mkubwa wa Chelsea nchini kaka Makulilo nae hakuwa mbali na kombe hilo ya Barclays...Kaka alikuwa na furaha kiasi cha kusahau matatizo ya timu yake...Kombe limeleta furaha kwa wadau na wapenzi wa soka nchini...

Sunday, 8 June 2014

GOLF: LIBAN NEWA; MTANZANIA MKALI SANA KATIKA MCHEZO WA GOLF MAREKANI


Liban Newa alizaliwa huko Nairobi mwaka 1969 na kuhamia Dar es Salaam mwka 1977...Alianza kucheza Golf akiwa na miaka 13 katika Club ya michezo ya Gymkhana...