Monday 11 April 2016

EPL: MANCHESTER UNITED HOI KWA TOTTENHAM


Manchester United wamechapwa 3-0 na Tottenham ndani ya White Hart Lane jana jioni...Tottenham bado wanandoto za mbali za kuchukua ubingwa lakini bado kazi ipo kwani Leicester wako points 7 mbele yao na bado mechi kama 5 vile...Dele Alli ndie aliye pachika bao la kwanza kipindi cha 2 akifuatiwa na kichwa cha Toby Alderweireld na bao la mwisho kutoka kwa Erik Lamela...Manchester United walijitahidi kidogo lakini baada ya dogo Timothy Fosu Mensah kujitahidi sana na badae kuumia ndipo mabao yalianza kumiminika...Mensah mwenye miaka 18 ndie aliyekuwa mchezaji bora Manchester akifuatiwa na Anthony Martial...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment