Sunday 3 April 2016

EPL: LEICESTER CITY WAKO MBIONI KUNYAKUA KOMBE LA PREMIERSHIP BAADA YA KUSHINDA DHIDI YA SOUTHAMPTON SIKU YA KUZALIWA MWENYEKITI WA CLUB


Leicester City dakika chache zilizopita wamefaniakiwa kushinda bao 1 dhidi ya Southampton...Captain ndio aliyewapatia bao Leicester City....Sasa wako points 7 mbele ya Tottenham na bado mechi 6 tu msimu uishe....Mechi ilikuwa nzuri na kila timu imecheza vizuri....Southampton wamejitahidi sana pamoja na hayo walinyimwa penalty lakini ndio hivyo Leicester wanayoyoma...Leo ni siku ya kuzaliwa Mwenyekiti wa Leicester F.C. na alikuwa anaangalia mpira uwanjani  akapata zawadi wa bao kutoka kwa Captain...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment