Thursday 28 April 2016

CHAMPIONS LEAGUE 2016: BAO KALI SANA LA NIGUEZ LAIPA ATLETICO NAFASI NZURI KIDOGO


Saul Nigues, Spain U-21 International, aliwapiga chenga mabeki wa Bayern Munich kama wamesimama vile na kupachika bao safi kabisa...Bao la Niguez limewapa Atletico Madrid nafasi nzuri japo kidogo ya kuingia ungwe ya 2 wakisafi kwenda uwanja wa Bayern...Bayern walianza ovyo lakini badae walicheza mpira wa ukweli na wa akili lakini mabeki wa Atletico walikuwa wamejipanga...Torres nae hakuwa mbali na gli alipiga shuti likagonga mwamba...


Timu hizi zitakutana tena ndani ya Allianz Arena uwanja wa Bayern Jumanne ijayo...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment