Showing posts with label Aguero. Show all posts
Showing posts with label Aguero. Show all posts

Tuesday, 18 July 2017

Monday, 5 December 2016

Sunday, 4 December 2016

EPL: PEP GUARDIOLA APOLOGISES FOR HIS TEAM'S FRACAS AS THEY LOST TO CHELSEA 3-1


Pep Guardiola has apologised for the fracas that happened at the end of 3-1 defeat by Chelsea...Sergio Aguero was given a red card for his rough tackle in David Luiz that sparked the fracas...

Wednesday, 31 August 2016

MANCHESTER CITY: SERGIO AGUERO CHARGED WITH VIOLENT CONDUCT


Sergio Aguero has been charged with violent conduct for using his elbow and may miss a derby match against Manchester United on September 10...In the 76th minute Aguero swung his left elbow towards West Ham defender Winston Reid but the officials did not see the incident according to the Football Association...The incident was caught on camera...If he is found guilty he will face a 3 game ban.

Wednesday, 17 August 2016

CHAMPIONS LEAGUE: AGUERO APATA HAT-TRICK NA KUKOSA MATUTA MAWILI HUKU STEAUA BUCHAREST IKILA KICHAPO CHA MABAO 5-0


Steaua Bucharest imekula kichapo balaa nyumbani baada ya Manchester City chini ya kocha mpya Pep Guardiola kuirarua 5-0...Mabao 3 kati ya hizo 5 yalitoka kwa Sergio Aguero na hapo alikosa matuta mawili...Huu ni mchuano wa Champions league wa kufuzu...


Kwa ujumla City walikuwa wako fiti sana kuliko Bucharest na kifaa chao kipya Nolito kilipiga besela na kutingisha mwamba mara 2 na kufunga bao la kwanza kuitia pasi makini sana kutoka kwa Kevin de Bruyne...


Pep alimtema tena Joe Hart kwenye squad na inasemekana Haet yuko mbioni kusema muda wowote sasa...Bofya hapa upate habari zaidi.

Wednesday, 27 April 2016

CHAMPIONS LEAGUE 2016: JOE HART AMEHAKIKISHA MAN CITY HAWAFUNGWI UNGWE YA KWANZA


Joe Hart amepangua mipira mawili mwishoni wakati Real Madrid wanashambulia sana mwishoni...Umakini wa Hart umeisaidia Manchester City kwenda ungwe ya 2 bila kifungwa...Real Madrid hawakuwa wenyewe nadhani pia ni kutokana na Cristiano Ronaldo kuwa nje kutokana na kuumia paja...Aguero sasa ameenda dakika 432 bila kupiga shuti linaloelekea kwenye goli na Kevin De Bruyne apipiga 62.3% ya pasi zake na ni kiwango cha chini kabisa kwa mchezaji anayecheza nafasi yake.... Hii ni dalili Manchester City wameanza kuchoka au wanapoteza mwelekeo...Bofya hapa upate habari zaidi.

Saturday, 23 April 2016

EPL: MANCHESTER CITY YASHINDA 4-0 DHIDI YA STOKE CITY


Manchester City wamewatoa Arsenal nafasi ya 3 na kukaa hapo baada ya kuichapa Stoke City 4-0...Mechi haikuwa na mvuto sana na Manchester City walikuwa na defense mbovu lakini pamoja na hayo waifanikiwa kuingiza mabao 4...


Bao la kwanza lilitoka kwa Fernando kupitia kichwa na la 2 lilitoka kwa Aguero dakika ya 43 kwa njia ya tuta na Iheanacho alitupia 2 kipindi cha 2...Bofya hapa upate habari zaidi.

Sunday, 4 October 2015

EPL: AGUERO AIRARUA NEWCASTLE


Sergio Aguero amefanya kweli katika uwanja wa nyumbani kwa kupachika mabao 5 ya kwake dhidi ya Newcastle...Manchester City walishinda hiyo mechi 6-1 na Aguero alitumia dakika takriban 20 kupachika mabao yake...Newcastle mpaka leo hawajashinda hata mechi moja walipata bao 1 kutoka kwa mchezaji wa mpya Mitrovic...Bofya hapa upate habari zaidi.