Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the 🌎
Showing posts with label Stoke. Show all posts
Showing posts with label Stoke. Show all posts
Saturday, 27 December 2025
Tuesday, 1 November 2016
EPL: STOKE CITY PUT 3 PAST STRUGGLING SWANSEA
Wednesday, 27 January 2016
CAPITAL ONE CUP 2016: LIVERPOOL YA KLOPP NDANI YA FAINALI
Liverpool imefanikiwa kuingia fainali ya League Cup chini ya uongozi wa Jurgen Klopp...Liverpool walifanikiwa kuchinda kupitia matuta baada ya kufungwa 0-1 na Stoke City...
Pamoja na kipa wa Liverpool, Simon Mignolet, kulaumiwa sana kipa huyo ndiye aliyekuwa staa baada ya kupangua penalty za Peter Crouch na Marc Muniesa...Bofya hapa upate habari zaidi.
Thursday, 3 December 2015
LEAGUE CUP: LIVERPOOL YAIRARUA SOUTHAMPTON 6-1
Liverpool yandelea kufanya vizuri chini ya kocha mpya Jugen Klopp na jana usiku walikuwa moto baada ya kuirarua Southampton 6-1 katika robo fainali ya League Cup...Daniel Sturridge alicheza jana na kujipatia mabao mawli na Mbelgiji mwenye asilia ya Kenya, Divok Okoth Origi, alipata mpira wa kupeleka nyumbani kupitia hat-trick yake...Sasa Liverpool watakutana na Stoke kwenye nusu fainali ya League Cup...
Nusu fainali itakuwa pia kati ya Everton na Manchester City...Mzunguko wa kwanza utaanza wiki ya January 4 na mzunguko wa 2 utaanza wiki ya January 25...Bofya hapa upate habari zaidi.
Sunday, 9 August 2015
EPL: COUTINHO AIPA LIVERPOOL USHINDI
Philippe Coutinho ameipa Liverpool points 3 za mwanzo baada ya kupiga shuti kali kwa mbali...Mara ya mwisho Stoke City kukutana na Liverpool walishinda 6-1 lakini Leo wamelala kwa bao 1 la Coutinho...Bofya hapa update habari zaidi.
Subscribe to:
Posts (Atom)






