Wednesday 27 January 2016

CAPITAL ONE CUP 2016: LIVERPOOL YA KLOPP NDANI YA FAINALI


Liverpool imefanikiwa kuingia fainali ya League Cup chini ya uongozi wa Jurgen Klopp...Liverpool walifanikiwa kuchinda kupitia matuta baada ya kufungwa 0-1 na Stoke City...


Pamoja na kipa wa Liverpool, Simon Mignolet, kulaumiwa sana kipa huyo ndiye aliyekuwa staa baada ya kupangua penalty za Peter Crouch na Marc Muniesa...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment