Thursday 28 January 2016

NATIONAL RALLY CHAMPIONSHIP: RALLY YA TANGA YAFUTWA



Rally ambayo ilikuwa ifungue msimu imefutwa...Chama cha magari nchini Automobile Association of Tanzania (AAT) kimetangaza kuwa Rally ya Tanga imefutwa kutokana na uongozi wa Rally Tanga haujajipanga vizuri na haukufuata masharti ya chama hicho...Rais wa AAT, Nizar Jivani, amesema Tanga wanaweza kuandaa Club Rally na watapata ushirikiano wote  na sasa National Rally itaanzia Moshi, Kilimanjaro March...Rais wa chama cha Rally Kilimanjaro, Fahim Aloo, amesema wako tayari kuwa wenyeji wa mashindano hayo na maadalizi yamepamba moto...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment