Showing posts with label Nizar Jivani. Show all posts
Showing posts with label Nizar Jivani. Show all posts

Thursday, 28 January 2016

NATIONAL RALLY CHAMPIONSHIP: RALLY YA TANGA YAFUTWA



Rally ambayo ilikuwa ifungue msimu imefutwa...Chama cha magari nchini Automobile Association of Tanzania (AAT) kimetangaza kuwa Rally ya Tanga imefutwa kutokana na uongozi wa Rally Tanga haujajipanga vizuri na haukufuata masharti ya chama hicho...Rais wa AAT, Nizar Jivani, amesema Tanga wanaweza kuandaa Club Rally na watapata ushirikiano wote  na sasa National Rally itaanzia Moshi, Kilimanjaro March...Rais wa chama cha Rally Kilimanjaro, Fahim Aloo, amesema wako tayari kuwa wenyeji wa mashindano hayo na maadalizi yamepamba moto...Bofya hapa upate habari zaidi.

Sunday, 17 January 2016

RALLY: TANGA KUFUNGUA MSIMU WA RALLY TANZANIA


Tanga itafungulia milango msimu wa mashindano ya  National Rally Championship ambayo yataanza tarehe 14 February...Tayari club 6 nchini zimejitokeza tayari kwa msimu wa rally...Rais wa chama cha magari nchini, Nizar Jivani, amesema mwaka huu mashindano ya awali yatafanyika kaskazini wakianzai Tanga na baada ya mwezi Kilimanjaro...



Mashindano ya Tanga yameandaliwa na Tanga Motor Sports Club (TMC) ambayo yanategemea zaidi ya washiriki 20...Mwana kamati, Awadh Bafadhil, amesema mashindano yatakuwa ya siku 1 na yatahusisha maeneo ya Tanga mjiji, Pangani na Muheza...


Mabingwa wa rally kutoka Dar es Salaam Dharam na Sanjev Pandya watatetea ubingwa wao na tarayi wameanza kujifua...Bofya hapa upate habari zaidi.