Friday 18 December 2015

NBA: LeBRON JAMES AMUUMIZA MKE WA JASON DAY



Katika hali ya kawaida ya kuokoa mpira usitoke nje ya court, LeBron James, alifanikiwa kuokoa mpira lakini shida ni kwamba alimwangukia mke wa Jason Day na kumuumiza...Jason Day ni Professional Golfer huko Marekani na alikuwa amekaa pembeni yake wakiangalia game wakiwa court side...


Mke wa Jason anaitwa Ellie Day aliwekwa kwenye machela na kukimbizwa hospitali haraka...Ilikuwa game kati ya Cleveland Cavaliers na Oklahoma Thunder...Kwa sasa Ellie Day anaendelea vizuri...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment