Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Monday, 21 December 2015
LA LIGA: REAL YAICHABANGA RAYO VALLECANO 10-2
Gareth Bale alijipatia mabao yake 4 walivyowagaragaza Rayo Vallecano 10-2...Dakika ya 12 Real walikuwa nyuma 2-1 lakini mambo yakabadikika kwenye dakika takriban ya 25 hivi Bale alivyosawazisha na baada ya hapo ilikuwa mvua ya maoli tu...Karim Benzema nae alijipatia hat-trick...Ni mara ya kwanza toka mwaka 1960 Real imemfunga mtu mabao 10...Mwaka huo Real walimchapa Elche 11-2...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment