Monday 21 December 2015

LA LIGA: REAL YAICHABANGA RAYO VALLECANO 10-2



Gareth Bale alijipatia mabao yake 4 walivyowagaragaza Rayo Vallecano 10-2...Dakika ya 12 Real walikuwa nyuma 2-1 lakini mambo yakabadikika kwenye dakika takriban ya 25 hivi Bale alivyosawazisha na baada ya hapo ilikuwa mvua ya maoli tu...Karim Benzema nae alijipatia hat-trick...Ni mara ya kwanza toka mwaka 1960 Real imemfunga mtu mabao 10...Mwaka huo Real walimchapa Elche 11-2...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment