Tuesday 15 December 2015

EPL: LEICESTER CITY JUU YA LIGI BAADA YA KUWACHAPA CHELSEA


Leicester FC wanaonhoza ligi baada ya kuwaywanga Chelsea 2-1...Jamie Vardy alifunga bao la kwanza na kumfikisha mabao 15 kwa ujumla...Bao zuri la 2 alipachika Riyad Mahrez muda mchache baada ya mapumziko...Loic Remy alipata bao la kufuta machizi lakini Leicester game ilikuwa yao...Chelsea sasa wako point 1 tu waingue relegation zone...Mourinho kibarua kiko hatiani sasa...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment