Monday 14 December 2015

EPL: LIVERPOOL YAOKOLEWA NA DIVOCK ORIGI DAKIKA YA 95



Liverpool ilikuwa hatiani kufungwa na West Brom baada ya bao la deflection la Mkenya Divock Origi kutingisha nyavu dakika ya 95 wakati mpira ulivyoongezwa muda wa dakika kama 10 hivi...Liverpool walianza vizuri na Jordan Henderson kupachika bao safi mapema lakini kosa la Simon Mignolet lilisababisha Craig Dawson kusawazisha...Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp, alissema amefurahi na matokeo ya 2-2 kwani wanastahili hiyo point 1 waliopata...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment