Wednesday 2 December 2015

VALENCIA: GARY NEVILLE KOCHA MPYA VALENCIA


Mchezaji wa zamani wa Manchester United alicheza nafasi ya beki, Gary Neville, ametangazwa kuwa kocha wa Valencia mpaka mwisho wa msimu...Pamoja na kuwa kocha wa Valencia bado anaendelea kuwa msaidizi wa timu ya taifa ya Uingereza...Alhamisi Neville akiwa na rais wa Valencia wataongea na waandishi wa habari...


Neville anamiliki timu ambayo haiko kwenye ligi inayoitwa Salford City na mmiliki wa Valencia Peter Lim...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment