Friday 18 December 2015

CHELSEA: MAONGEZI NA GUUS HIDDINK YANAENDELEA


Kocha wa zamani ya Uholanzi, Guus Hiddink, yuko tayari kuingia Chelsea muda si mrefu...Hiddink yuko kwenye mazungumzo na uongozi wa Chelsea na muda wowote wanaweeza kumtangaza kwenye vyombo vya habari...Hiddink amewahi kuwa boss wa Chelsea mwaka 2009 walivyo shinda FA Cup...Hiddink ana rekodi nzuri ya ukocha, kwa mfano, akiwa na PSV Eindhoven alishinda kombe la Dutch mara 6 na European Cup...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment