Wednesday 16 December 2015

CHELSEA: FABREGAS AWACHANA WENZAKE



Cesc Fabregas amewachana wenzake kwamba wa waonyeshe pesa wanayopata uwanjani...Fabregas amesema kama wachezaji ni wakubwa na wanalipwa pesa kubwa basi jichukulie kama wewe ni mkubwa...Hii imetokea baada ya kuchapwa na Leicester na kocha Mourinho kusema kazi ilihujumiwa...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment