Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Wednesday, 16 December 2015
CHELSEA: FABREGAS AWACHANA WENZAKE
Cesc Fabregas amewachana wenzake kwamba wa waonyeshe pesa wanayopata uwanjani...Fabregas amesema kama wachezaji ni wakubwa na wanalipwa pesa kubwa basi jichukulie kama wewe ni mkubwa...Hii imetokea baada ya kuchapwa na Leicester na kocha Mourinho kusema kazi ilihujumiwa...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment