Saturday 19 December 2015

MICHAEL JORDAN: JORDAN ASEMA LARRY BIRD ALIONGOZA KUONGEA OVYO NDANI YA COURT


Michael Jordan ambae ni Basketball legend amesema ingawa nayeye alikuwa anamdomo mchafu lakini aliyoongoza kuwa na mdomo chafu wakiwa wanacheza ni Larry Bird mchezaji wa zamani wa Boston Celtics...Alisema haya alipokuwa anahojiwa kwenye kipindi cha maswali na majibu ya 20th annual Michael Jordan Flight School ndani ya Santa Barbara, California...


Alisema forward huyo wa zamani wa Boston Celtics alikuwa anamdomo mchafu lakini sio kwa maneno mabaya...Bofya hapa uangalie Jordan anavyoosema.

No comments:

Post a Comment