Monday 21 December 2015

FIFA: BLATTER NA PLATINI WAFUNGIWA MIAKA 8


Kutokana na uchunguzi wa masuala ya rushwa ndani ya Fifa, kamati ya nidhamu imewafungia Sepp Blatter na Michel Platini miaka 8 kutojihusisha na kitu chochote kinacho husu mpira...Kwa mujibu wa uchunguzi Blatter na Platini wametumia vibaya ofisi za Fifa wakati Blatter alipompatia Platini ponds za Uingereza milioni 1.3...Blatter amesema atatetea jina late na atatetea Fifa na kuna watu wanamchafulia jina lake...Blatter ambae ni mswiss na Platini ambae ni mfaransa wamepigwa faini ya pounds 33,700 (Blatter) na pounds 54,000 (Platini)...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment