Monday 21 December 2015

EPL: WATFORD YAISHANGAZA LIVERPOOL



Watford FC timu ndogo jana iliwashangaza Liverpool na mashabiki wake baada ya dakika 3 tu mpira ulivyoanza Nathan Ake, mdachi ambae ni mchezaji wa Chelsea aliyechukuliwa kwa mkopo, akatingisha nyavu...Baada ya hapo nae Odion Igalo akatingisha nyavu dakika ya 15 akipiga mpira mshazari kwenye angle ngumu...Dakika ya 85 huyo huyo mnigeria alipokea mpira kutoka kwa Valon Brahimi na kutingisha wavu...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment