Monday 28 December 2015

EPL: ARSENAL YAANZA KUONJA KIPIGO CHA BAADA YA X MAS



Arsenal huwa baada ya x-mas inaharibu hasa ikiwa iko kati ta timu za juu ua ligi...Hii imeonekana kwenye mechi dhidi ya Southampton baada ya kuchapwa 3-0 na ni mechi Arsenal ilitakiwa kuchukua points 3 za bure kabisa lakini kwa Southampton imekuwa ngumu hata mechi za awali Southampton walifanikiwa kushinda mechi 3 kati ya 4...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment