Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Monday, 28 December 2015
EPL: ARSENAL YAANZA KUONJA KIPIGO CHA BAADA YA X MAS
Arsenal huwa baada ya x-mas inaharibu hasa ikiwa iko kati ta timu za juu ua ligi...Hii imeonekana kwenye mechi dhidi ya Southampton baada ya kuchapwa 3-0 na ni mechi Arsenal ilitakiwa kuchukua points 3 za bure kabisa lakini kwa Southampton imekuwa ngumu hata mechi za awali Southampton walifanikiwa kushinda mechi 3 kati ya 4...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment