Tuesday 22 December 2015

EPL: ARSENAL YAONYESHA MATUMAINI YA KUCHUKUA KOMBE



Arsenal baada ya kuwachapa Manchester City 2-1 sasa wanaona wako tayari kufukuzia kombe la premiership...Kocha wa Arsenal amesema ushindi huu unawapa Arsenal imani kushinda kombe...Arsenal sasa iko points 3 mbele ya Man City lakini iko chini ya Leicester kwa points 2...Bao la Toure mwishoni halikuzaa matunda kwani makosa yao yalifanya Arsenal kuwakimbiza muda mrefu...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment