Saturday 19 December 2015

CHELSEA: GUUS HIDDINK BOSS MPYA CHELSEA



Chelsea wamepata kocha mpya wa kubadilisha mambo ndani darajaji...Guus Hiddink mwenye umri wa miaka 69 ataipeleka timu mpaka mwisho wa msimu...Amesema anaipenda Chelsea na kwa kuwa Chelsea ni moja ya timu kubwa duniani haistahili kukaa hapo ilipo...Kwenye game ya leo atakaa juu kwenye viti vya watazamaji akiwa na mmiliki wa timu Roman Abramovich...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment