Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Saturday, 19 December 2015
CHELSEA: GUUS HIDDINK BOSS MPYA CHELSEA
Chelsea wamepata kocha mpya wa kubadilisha mambo ndani darajaji...Guus Hiddink mwenye umri wa miaka 69 ataipeleka timu mpaka mwisho wa msimu...Amesema anaipenda Chelsea na kwa kuwa Chelsea ni moja ya timu kubwa duniani haistahili kukaa hapo ilipo...Kwenye game ya leo atakaa juu kwenye viti vya watazamaji akiwa na mmiliki wa timu Roman Abramovich...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment