Showing posts with label Lamine Kone. Show all posts
Showing posts with label Lamine Kone. Show all posts

Wednesday, 14 September 2016

SUNDERLAND FC: LAMINE KONE SIGNS A 5 YEAR DEAL


Lamine Kone has signed a 5 year deal with Sunderland...Former manager Sam Allardyce signed Kone from the French side Lorient...The Ivory Coast international wanted to leave in August and the Everton was targeting him but it never happened...David Moyes said Kone is a very "important" player.

Thursday, 12 May 2016

EPL: SUNDERLAND YABAKIA PREMIER LEAGUE


Sunderland walikuwa wamejaa nyuso za furaha tu baada ya kushinda mechi na kubakia premier league...Al manusra Sunderland washuke daraja lakini ushindi wao umeshusha timu za Newcastle na Norwich...



Norwich walipanda daraja na sasa wamerudi kule walipotoka baada ya msimu 1...Sunderland waliwachapa Everton mabao 3-0 na kati ya hayo mabao beki Lamine Kone alipacheka 2 na bao lingine alifunga van Aanholt...



Ujio wa kocha Sam Allardyce mwezi wa 10 umeisaidia sana Sunderland kukwepa kushuka daraja...Bofya hapa upate habari zaidi.

Saturday, 13 February 2016

EPL: MANCHESTER UNITED YACHAPWA NA SUNDERLAND


Sunderland sasa imejipa matumaini ya kuchomoka chini na kumaliza ligi nafasi za kati baada ya kuichapa Manchester United 2-0...Wahbi Khazri attacking midfielder anayetoka Tunisia aliwaweka Sunderland mbele baada ya dakika 3 tu kuokana na free kick iliyowachanganya Man U...


Takriban dakika ya 39 Anthony Martial aliweza kupata bao lililompita Vita Manone...Corner ya Khazri ilimkuta Lamine Kone ambae alipiga kichwa kilichomgonga de Gea na kuzama ndani...Man U sasa naona ndoto za ubingwa zinaota mabawa na pia kumaliza nafasi ya 4 itakuwa shida...


Kocha van Gaal akae mkao wa kusepa maana mechi ya leo walikuwa kama hawataki kucheza vile...Bofya hapa upate habari zaidi.