Saturday 20 February 2016

MANCHESTER UNITED: VAN GAAL AKATA TAMAA KWA KUONA WACHEZAJI WAKUBWA WAMEMCHOKA WAKIMTAKA MOURINHO


Hali sio shwari ndani ya Old Trafford kutokana na jinsi kocha van Gaal anavyoendesha mambo...Kwa habari zinazotoka Uingereza zinasema kuwa wachezaji wakubwa wamanza kumsusia na amelijua hilo na sasa muda wowote anaweza kuondoka...Naibu Mwenyekiti wa Manchester United, Ed Woodward, bado hajaamua kumtimua van Gaal lakini inawezekana akaondoka kwakuwa wanaweza kumpoteza Jose Mourinho...Wakimpata Mourinho mapema wanaweza kumaliza nafasi nzuri na ikawasaidia katika mechi za Uefa...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment