Wednesday 24 February 2016

BARCELONA: FERNANDO ALONSO ASEMA BADO YOPO YUPO


Dereva mkali wa magari ya Formula One maarufu kwa jina la F1, Fernando Alonso, ameema haendi popote...Alonso ambae yuko na timu ya McLaren amesema haondoki mpaka mkataba wake uishe mwaka 2017...Kwa wengi katika ulimwengu wa F1 Alonso ni kati ya madereva wakali sana duniani amefanikiwa kufanya mizunguko 100 katika msimu wa awali unaoendelea huko Barcelona...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment