Thursday 25 February 2016

UEFA CHAMPIONS LEAGUE: MAN CITY YACHEZA VIZURI NA KUSHINDA KIEV


Manchester City ilikuwa kamili na sio ile timu iliyofungwa majuzi kwenye FA Cup...Katika mechi ya jana Man City iliweza kuwakabili vyema kipindi cha kwanza Dynamo Kiev na kipindi cha kwanza kupata mabao 2...Mabao yalitoka kwa Segio Aguero dakika ya 15 na David da Silva dakika ya 40...Kiev waliweza kupata bao dakika ya 58 lakini Yaya Toure aliweza kuondoa kui ya mabao kwa kutingisha nvyavu dakika ya 90...



Kwa taarifa tu Sergio Aguero amefunga mabao 16 katika mechi 17 za Champions League alizocheza...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment