Thursday 25 February 2016

ARUSHA: VIJANA KUNOLEWA KATIKA MCHEZO WA RUGBY (RAGA)


Vijana kutoka shule 30 watafundishwa mchezo maarufu wa Rugby kuanzia tarehe 29 February...Shule 11 katika Wilaya 3 za Arusha zinanolewa kwa siku 4...Mafunzo hayo yameandaliwa na Bhubese Pride kutoka Uingereza...Shule zitazohusika na zoezi hili ni Meru, Magereza, Makumbusho, Levolosi, Ngarenaro Primary, Illboru Secondary, Ngaresh, Lashaine, na Orkeswa Primary na Sekondary...Pamoja na kufundisha vijana waalimu 16 nao watafundishwa Rugby...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment