Monday 22 February 2016

SNOOKER: O'SULLIVAN ASHINDA WELSH OPEN KWA MARA YA 4


Ronnie O'Sullivan mkali wa snooker ameibuka tena kwa nguvu baada ya kushida frame 7 mfululizo na kumchapa namba 3 duniani Neil Robertson 9-5...


Mchezo ulikuwa wa michuano 17 ambayo Robertson alianza kwa kushinda frame 2 za mwanzo mpaka akafika 5-2...


Sasa O'Sullivan anasema anasubiria World Championship mwezi wa 4...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment