Thursday 25 February 2016

F1: IFIKAPO 2017 MAGARI YA F1 YANATAKIWA KUFUNIKWA KUMLINDA DEREVA


Magari yote ya Formula One yanatakiwa kufunikwa kumlinda dereva...


Habari hii imetoka kwenye chombo kikubwa kinachoandaa mashindano ya magari ya F1, FIA, na inataka magari wabadilishwe ifikapo mwaka 2017...


Team ya Red Bull ambayo gari lake linaendeshwa na Daniel Ricciardo wamesema watatoa proposal ya kuimarisha magari zaidi na proposal yao ni kufunika kabisa eneo analokaa dereva...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment