Monday 22 February 2016

FA CUP: CHELSEA YAICHAPA MAN CITY YENYE VIJANA 5-1


Manchester City ilikubali kipigo cha 5-1 kutokana na uamuzi wa kupumzisha wachezaji ili waweze kucheza mechi ya Champions League Jumatano dhidi ya Dinamo Kiev huko Ukraine...Man City ilikuwa na vijana 5 kwenye squad na Chelsea walikuwa kamili...Bao pekee la Man City lilitoka kwa dogo David Faupala ambae alijitahidi sana kuonyesha uwezo wake...



Chelsea sasa watasafiri kwenda kucheza na Everton kwenye robo fainali...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment