Saturday 27 February 2016

FIFA: GIANNI INFANTINO RAIS MPYA FIFA


FIFA jana ilichagua kiongozi mpya wa Shirikisho hilo katika zoezi la kupiga kura lililofanyika Zurich...Gianni Infantino amekua Rais mpya wa FIFA... Infantino alipata kura 115 na alimpita Sheikh Salman bin Ebrahim al-Khalifa kwa kura 27...Infantino amechukua nafasi ya Sepp Blatter ambae alikuwa rais wa FIFA toka 1998 na sasa Blatter amefungiwa miaka 6 kutojihusisha na shughuli zozote za mpira...Rais mpya wa FIFA alikuwa hata hana mpango wa kuwania urais lakini Michel Platini alipoacha kuwania urais Infantino aliingia kwenye kinyan'ganyiro cha urais...Ameahidi kusafisha FIFA na kurudisha sifa ya mpira...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment