Wednesday 24 February 2016

NBA: NBA KUANZISHA LIGI YA VIJANA KATIKA VIWANJA VYA JAKAYA M. KIKWETE YOUTH PARK


NBA (National Basketball Association) ya Marekani inaanzisha ligi ya vijana ya basketball...Makamu wa Rais na Mkurugenzi Mkuu wa NBA Afrika, Amadou Gallo Fall, amesema ligi hiyo itahudhuriwa na mkali wa WNBA (Women National Basketball Association) Allison Feaster...Ligi itahusisha vijana wa kiume wenye umri kati ya 12 na 14...Pia shule 30 zitashiriki ambazo ni mithili ya timu 30 za NBA Marekani...


Viwanja vya JMK Park vilijengwa kwa gharama ya milioni $2 kati ya Symbion Power, Grasshoper Soccer na timu ya English Premiership Sunderland A.F.C....Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment