Kocha wa zamani wa Tottenham na Fulham Martin Jol amechaguliwa kuwa kocha wa timu kubwa huko Egypt ya Al Ahly...Jol amechukua kiti cha Jose Peseiro ambae ameenda Porto...Kwa sasa timu kubwa zenye upinzani mkubwa sana Al Ahly na Zamalek zina makocha wapya...Al Ahly sasa wanaongoza ligi wakifuatiwa na mabingwa wa mwaka jana Zamalek....Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Friday, 26 February 2016
EGYPT: MARTIN JOL KOCHA MPYA AL AHALY
Kocha wa zamani wa Tottenham na Fulham Martin Jol amechaguliwa kuwa kocha wa timu kubwa huko Egypt ya Al Ahly...Jol amechukua kiti cha Jose Peseiro ambae ameenda Porto...Kwa sasa timu kubwa zenye upinzani mkubwa sana Al Ahly na Zamalek zina makocha wapya...Al Ahly sasa wanaongoza ligi wakifuatiwa na mabingwa wa mwaka jana Zamalek....Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment