Thursday 25 February 2016

VODACOM PREMIER LEAGUE: AZAM YASHIKWA SHATI SOKOINE MBEYA


Azam FC imerudishwa nyuma katika mbio zake za kuipita Yanga kwa kushikwa shati huko uwanja wa Sokoine Mbeya...Draw iliyopatikana huko Mbeya sio habari njema kwa mashabiki wa Azam FC kwani kasi inapungua ya kuwania kombe la ligi...Prisons waliwashika shati na mpaka kipenga cha mwisho ubao ulisoma 0-0...Azam sasa bado wana points 46 na wanahitaji ushindi haraka...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment