Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Sunday, 28 February 2016
EPL:MAN U YAOKOLEWA NA DOGO RASHFORD TENA
Dogo hatari wa Man U, Marcus Rashford, amepata mabao 2 muhimu sana dhidi ya Arsenal kwani Man United wanachechemea na dogo amepata nafasi ya kuonyesha ulimwengu na yeye yumopo...Katika meshi 2 kapata mabao 4 na sasa lazima atachukua namba ya mtu tuwe tunamuona...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment