Sunday 28 February 2016

EPL:MAN U YAOKOLEWA NA DOGO RASHFORD TENA


Dogo hatari wa Man U, Marcus Rashford, amepata mabao 2 muhimu sana dhidi ya Arsenal kwani Man United wanachechemea na dogo amepata nafasi ya kuonyesha ulimwengu na yeye yumopo...Katika meshi 2 kapata mabao 4 na sasa lazima atachukua namba ya mtu tuwe tunamuona...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment