Monday 22 February 2016

BUNDESLIGA: KWA MARA YA KWANZA MECHI YASIMAMISHWA KWA KOCHA KUGOMA TUTOKA UWANJANI


Mechi kati ya Bayer 04 Leverkusen na Borussia Dortmund ilisimamishwa kwa dakiak 8 na kuanza kucheza tena baada ya kocha wa Leverkusen, Roger Schmidt, kukubali kuondoka uwanjani...Kisa kilianza wakati Pierre-Emerick Aubameyang alipopachika bao la free kick dakika ya 64 na kocha wa Leverkusen kukataa bao hilo kutokana na free-kick kupigwa sehemu tofauti...


Baada ya kukataa refa amamwambia captain msaidizi wa Leverkusen, Stefan Kiessling, amwambie kocha asepe...


Kocha akagoma ndipo refa, Felix Zwayer, akaamua kusimamisha mpira nakuondoka uwanjani...Hii ni mara ya kwanza mpira unasimamishwa kwa style hii ndani ya mechi za Bundesliga...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment