Wednesday 24 February 2016

UEFA CHAMPIONS LEAGUE: ARSENE WENGER AWALALAMIKIA WACHEZAJI WAKE BAADA YA KICHAPO CHA BARCA


Arsene Wenger nae ametoa kali eti analaumu wachezaji wake badala ya kuwapigia makofi Barcelona kwa kuwachapa bila ubishi 2-0...Star wa Barca, Lionel Messi, aliharibu matumaini ya Arsenal ya kusonga mbele Champions League baada ya kupata mabao 2 yote ya kipindi cha 2...Wenger amesema timu yake ilicheza kiwango cha kawaida kabisa na hawakuwa na ari ya kushinda sasa sijui kama aliangalia kipindi cha 1 au ndio kujitetea tu...



Ila amekubali Barca wazuri sana na wako 95% uhakika wa kuendelea na Arsenal wanaenda Barca kucheza tu...Bofya hapa upate habari zaidi.

1 comment:

  1. I really appreciate your support on this.
    Look forward to hearing from you soon.
    I’m happy to answer your questions, if you have any.


    แจกเครดิตฟรี ฝากถอนง่าย

    เครดิตฟรี

    คาสิโนออนไลน์

    ReplyDelete