Sunday 21 February 2016

VODACOM PREMIER LEAGUE: YANGA YAIZAMISHA SIMBA 2-0


Donald Ngoma na Amis Tambwe ndio walioizamisha Simba katika mechi ya ligi iliyofanyika jijini Dar es Salaam...Watani wa jadi Simba na Yanga huwa ni gumzo kubwa hapa mjini na jana Yanga waliweza kuwanyamazisha watani kwa mabao 2...Kwa sasa Yanga wako kileleni wakiwa na points 46 na Simba wamekaa nafasi ya 3 baada ya Azam FC kushinda 3-0 dhidi ya Mbeya City...Simba na Azam wako sawa kwa points lakini Azam wako mbele kwa tofauti ya mabao...Yanga walikuwa na bahati wakati mchezaji wa Simba Abdi kutolewa nje kwa kadi nyekundu kutokana na kufanya foul mara 2...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment