Wednesday 10 February 2016

NFL: BRONCOS MABINGWA SUPER BOWL 50


Denver Broncos ndio mabingwa wa mchezo wa American Football kwenye ligi ya NFL...Broncos chini ya QB (Quarterback) Payton Manning walifanikiwa kuwachapa Carolina Panthers 24-10...Brocos walikuwa na defense kali sana ambayo iliwasaidia kupata turnovers 3 kutoka kwa QB na MVP Cam Newton...Mwanzo Panthers ndio walikuwa wanaaminika kuwa watachukua kombe baada ya kumaliza msimu...Bofya hapa upate habari.

No comments:

Post a Comment