Saturday 27 February 2016

NIGERIA: SAMSON SIASIA RUDI TENA KUONGOZA TIMU YA TAIFA NIGERIA


Samson Siasia amechaguliwa kuiongoza timu ya taifa ya Nigeria baada ya Sunday Oliseh kuachia ngazi Ijumaa iliyopita...Oliseh aliondoka kutokana na kutoelewana na Shirikisho la Soka Nigeria kuhusu mkataba na mshahara wake...Siasia aliwahi kufundisha Super Eagles December 2010 mpaka October 2011...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment