Friday 5 February 2016

SUPER BOWL 50: SNOOP DOGG AWAFURAHISHA WACHEZAJI WA BRONCOS NA PANTHERS KWENYE MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI



Msanii maarufu wa miondoko ya Hip-Hop, Snoop Dogg, amewafurahisha sana wachezaji wa timu mbili kubwa ambazo zimefika fainali ya ligi ya NFL, Denver Broncos na Carolina Panthers...


Snoop Dogg aliibuka kwenya mkutano wa timu hizo 2 na waandishi wa habari na kuweza kuwauliza maswahi kadhaa wachezaji na pia kuwatania kidogo na kupiga nao picha...


Snoop aliwatakia heri timu zote katika fainali itayofanyika Jumapili ijayo...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment