Thursday 18 February 2016

EPL: WAYNE ROONEY NJE WIKI 6


Wayne Rooney atakuwa nje kwa takriban wiki 6 kutokana na kuumia goti...Manchester United kazi iko ya kuziba pengo maana wanamuhitaji sana Rooney katika mbio za kumaliza nafasi nzuri EPL...Macho yote yako kwa dogo hatari sana Anthony Martial kuziba pengo akicheza kama striker...Martial anauwezo mkubwa kama striker na attacking midfielder...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment